samedi 28 juillet 2012

Kauli ya DANSON THE GREAT POWER







kwa jina anaitwa danson the great power,ni msanii anaefanyavizuri kwenye tasnia ya buja film katika maojiano nae aliweza kujieleza

"Nawatakiaki ndugu zangu wote waislam mafungo mema ya mwezi mtukufu wa ramadhan"alizidi kujieleza "nawashukuru wadau wa buja film walivyo pokea film yetu ya kwanza PIGO LA MOYO,wadau kaeni mkao wa kula baada ya mwezi huu mtukufu natarajia kuja kivingine kabisa ku wapa ladha tofauti,pia napenda ku waageni baada ya mwezi huu mtukufu nitajielekeza Nchini tanzania ku wasabahi familia yake ilio baki huko,namalizia kwa kutoa shukurani zangu za dhati kwa wasanii wenzangu wote wa buja films na mashabiki niombeeni dua niweze kufika kwausalama na kurudi kwa usalama zaidi,nashukuru blog inyambo kwa habari moto moto"


Hiyo ndio kauli yake DANSON THE GREAT POWER

Aucun commentaire: