dimanche 22 juillet 2012

Yala yala SAT B siri nje"Ndoa yake yafanyika kisri siri"





Msanii wetu maarufu sana nchini,BIZIMANA Abubakar Karume,"SAT B",aamua kufanya ndoa kisiri siri alkhamis ya tarehe 19/july/2012 usiku wa ku amkia mwezi mtukufu wa ramadhani.Ndoa hio ilihudhuria watu wachache ambao ni members of family na washkaji kadhaa,




(Mke wa SAT B)




   (SAT B akiwa pamoja na mke wake)

(www.burundinyambo.blogspot.com)


 

Aucun commentaire: